4 Oktoba 2020

     

Swahili Evangelical Refugee Fellowship of Atlanta

“Sisi tulio katika huduma hii ya kiuinjilisti ni wafuasi wa Yesu Kristo wanao abudi kwa lugha ya Kiswahili walio na shauku ya kukua katika utiifu na Imani na hamu ya kubadilisha jamii ya wakimbizi waliotuzingira.”

www.swahilievangelical.com         EIN: 82-5217331

   KARIBU TUJIFUNZE NENO LA MUNGU KWENYE KANISA

                                                              LA

                  SWAHILI  EVANGELICAL  LILIPO GEORGIA ATLANTA.

                                                     OCT.04th  – 2020

THEME: TABIA NNE ZA KIMWILI ZA WATU WASUMBUAO KANISA LA KRISTO.

ANDIKO : WARUMI. 8:8Wale waufuatao Mwili awawezi kumpendeza Mungu”

NASABA FUPI YA KITABU CHA WARUMI:

Kwa ufupi waraka huu uliandikwa na Paulo Mtume kwa mataifa mnamo mwaka wa 57 AD, pale  Korintho, Nyaraka hii iliandikwa wakati Paulo akijiandaa kwenda Jerusalemu.

Lengo la kitabu hiki :

1. Lengo kubwa kabisa ilikuwa nikuwaonya wakristo  na Kanisa lilioko Rumi ili wawe na Imani ya kweli katika Kristo Yesu,

2. Ilikuwa ni kujitambulisha kwake, kwa wakristo walioko Rumi kabla ya yeye kufika pale Rumi.

            Tujifunze kuhusu Tabia nne za watu wanao tesa Kanisa la Kristo.

Tabia #:01. WATU WENYE ROHO YA WIVU.( Watu wa Kimwili)“Rom.8:8” “ Mwaz.3:3 ”

 Asili ya wivu ni shetani.

Tabia #:02. WATU WA  KIBURI  na MAJIVUNO (watu wakimwili) “Mith. 8:13, Luk.1:51”

Mfano: Maisha ya watu Hapa Marekani.

Tabia #: 03. Roho ya Kupenda Vyeo Visivyo kukustahili na kutotii mamlaka yaliyopo,

                                          (viongozi wa kimwili) “Roma.13:1-3”

Tabia #: 04. Watu wasio Tii Neno la Mungu. “ Rom.2:8,”

                                                                                –  Awataki Maombi,

                                                                                –  Awataki kujifunza Neno la Mungu,

                                                                                –  Watu watabia zote za dhambi.

Watu wa Tabia hizo hukumu kubwa ya kutisha inawasubiri na wote watatupwa kwenye ziwa la moto.”Ebr.10:27”.

NB: Kwaiyo inatupasa tuache tabia zote za kimwili na tumfanyiye Mungu kazi kwa Upendo, Amani, Ushirika Mtakatifu. “Yak.4:7”

Inawezekana maisha yako yako hatarini pasipo kufahamu, umetenda dhambi pasipo kujuwa lakini pia Unaishi maisha ya kulazimishwa kidhambi, Naomba uje tuombe Pamoja na wewe.

                                          Mbarikiwe Nyote na Kristo Bwana Wetu.

                                      By Pastor. Mokwa Ferdinand John.

                                                                             AMEN.

3895 Church Street, Clarkston, GA 30021

(641) 990-7245             (404) 587-0944


Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s